Sera hii ya Faragha ya Makoso Technologies (“sisi”, “kwetu”, au “kampuni”) inaeleza jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuhifadhi, na kushiriki taarifa zako unapotumia huduma zetu, ikiwemo programu ya Wakala Nami. Kwa kutumia huduma zetu, unakubali taratibu zilizofafanuliwa katika Sera hii ya Faragha. Ikiwa hukubaliani na sera zetu, tafadhali usitumie huduma zetu.
Taarifa Unazotupa Kwa Hiari: Tunakusanya taarifa unazojaza wakati wa:
Aina za taarifa tunazokusanya ni pamoja na:
Data ya Programu: Tunaweza kuomba ruhusa ya kutumia vipengele vya kifaa chako, kama vile:
Unaweza kubadilisha ruksa hizi kupitia mpangilio (Settings) wa kifaa chako.
Tunachakata taarifa zako kwa madhumuni yafuatayo:
Tunaweza kushiriki taarifa zako katika mazingira maalum tu na kwa ufahamu wako, ikiwa pamoja na:
Taarifa zako zitahifadhiwa kwa muda unaohitajika kutimiza madhumuni yaliyoelezwa katika sera hii. Endapo hakuna haja ya kuendelea kuwa na taarifa zako, tutazifuta au kuzifanya zisiweze kukutambulisha.
Tumetumia mbinu za kiusalama za kiufundi na kiutawala kulinda taarifa zako. Hata hivyo, hakuna teknolojia ya mtandaoni iliyo salama kwa 100%, hivyo hatuwezi kutoa uhakika kamili dhidi ya uvamizi wa wahalifu wa kimtandao. Lakini tutajitahitidi kulinda taarifa zako lakini tumia mfumo huu kwenye mazingira salama.
Katika baadhi ya maeneo, una haki ya:
Unaweza kutumia haki zako kwa kuwasiliana nasi:
Barua pepe: wakalanami@gmail.com
Kwa sasa, hatuwezi kujibu maagizo ya Do-Not-Track (DNT) kutoka kwa vivinjari kwa sababu hakuna taratibu rasmi zilizokubaliwa kimataifa. Tukibadilisha sera hii, tutakujulisha.
Tunaweza kusasisha Sera hii mara kwa mara. Tarehe ya “Imesasishwa” itaonyesha toleo jipya. Tunashauri usome sera hii mara kwa mara ili kufahamu jinsi tunavyolinda taarifa zako.
Kwa maswali au maoni, unaweza kuwasiliana nasi kupitia:
Makoso Technologies
Makuburi, Ubungo External,
Dar es Salaam, Tanzania
Barua pepe: wakalanami@gmail.com
Unaweza kuomba ufikie taarifa zako, kuzisasisha, au kuomba zifutwe kwa kutuma ombi rasmi kupitia mawasiliano yetu. Tutalishughulikia kulingana na sheria za ulinzi wa data.
Kusasisha: wakalanami.co.tz/contact
Kufuta: wakalanami.co.tz/delete-account